AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekanusha taarifa iliyosambaa mtandaoni ambayo ilidai kuwa kutaja jina la kiongozi yeyote kwa utani kupitia sms faini yake ni Tsh. Milioni 5 au jela miaka mitatu. TCRA imewataka wananchi kupuuzia taarifa hiyo ambayo inaonekana hapo chini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK