AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ronaldo ambaye aliifungia Juventus magoli matatu (hat-trick) 3-0 dhidi ya Atletico Madrid katika come back 2-0 waliyofungwa katika mchezo wao wa kwanza wa 16 bora ya UEFA Champions League, amefunguliwa mashitaka na kuanza kuchunguzwa na UEFA kutokana na style yake hiyo.
UEFA leo baada ya kukaa na kujadili kupitia kamati zao zimeamua kumpiga faini Cristiano Ronaldo ya euro 20000 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 53, kwa kukutwa na hatia ya ushangiliaji wake ambao baadhi ya watu unawakosea heshima, Ronaldo inadaiwa alifanya hivyo kama kumjibu kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone ambaye alishangilia kwa style hiyo pia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK