AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umesema wamesahau na kumsamehe Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa baada ya kukiri makosa na kujirekebisha.
Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu Machi 11, 2019 jijini Dodoma na Mwenyekiti wa umoja huo , Kheri James wakati wakizungumza na waandishi wa habari kuwa kama akitokea mtu akahoji kwa nini Lowassa amesamehewa na kukubaliwa na CCM anyooshe mkono kwamba yeye hana dhambi.
Amehoji waliobainika kuhusika katika ripoti ya ukaguzi wa mali za CCM kama yupo aliyepelekwa mahakamani kwa makosa na kwamba anayekiri makosa yake na kujirekebisha husamehewa.
Lowassa alihamia CHADEMA Julai 28, 2015 lakini March Mosi, 2019 alitangaza kurejea chama chake cha zamani cha CCM.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK