AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea leo Machi 13, 2019 baada ya kikao cha kamati ya utendaji na Baraza la wadhamini Mkuchika amesema wameazimia kuwaomba wanachama kufanya uchaguzi wake mkuu mwaka huu 2019 badala ya mwaka 2020.
Mkuchika ameitaja sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kupisha uchaguzi mkuu wa nchi unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2020.
''Maamuzi haya tunayepeleka kwa wanachama wote na wajumbe wa mkutano mkuu kwani sio busara kujaza mapengo mwaka huu kisha tena mwakani tufanye mkutano mkuu wa uchaguzi, tunaita mkutano wa wanachama wote ili wakikubali hili lifanyike kwa ridhaa yao isijekuonekana sisi tuwaburuza'', amesema.
Aidha amesisitiza kuwa jambo hili la kuwashirikisha wajumbe wa mkutano mkuu ili wapitishe pendekezo hilo linatakiwa kufanya haraka ikiwezekana ndani ya wiki tatu au nne.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK