AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa ya tamko hilo imetolewa kwneye barua maalum iliyotolewa na Bodi ya Filamu nchini, na kusema kwamba ni kuidhalilisha taaluma na kutaka kuwaaminisha watanzania kuwa wasanii ni wapigaji wa pesa za rambirambi, jambo ambalo si sahihi.
Hata hivyo wasanii wa filamu za bongo nchini walisema wanajipanga kwenda jijini Dodoma kwa lengo la kumpongeza Musukuma, kutokana na kupigania haki za wasanii wa tasnia hiyo kwa kusema ukweli halisi uliopo kwenye maisha yao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK