CAF Yatoa Sababu ya Kubadirisha Mwamuzi Atakayechezesha Mechi ya Simba na TP Mazembe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shirikisho la Soka Barani Africa (CAF), limetoa sababu ya kubadilisha Mwamuzi atakayechezesha mchezo wao na TP Mazembe ya Congo.

Taarifa imesema kuwa baada ya Primero ya Angola kuitoa TP Mazembe katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita, wakakutana na Esperance ya Tunisia na Mwamuzi Jani Sikazwe wa Zambia ndiye akaamua mechi ya pili iliyowang'oa Waangola hao ambao walilalamika CAF na Sikazwe akasimamishwa.

Sasa CAF wameipa Simba Sikazwe na kumuondoa mwamuzi kutoka Ethiopia
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad