AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
wao Soudy Brown amewekea sumu.
Taarifa iliyotolewa na Radio hiyo imesema Mtangazaji huyu yupo salama na hakuna chochote kibaya kilichompata.
"Kuna Taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kumuhusu mtangazaji na mfanyakazi wa Clouds Media Group Soudy Brown kuwa yupo mahututi amepewa sumu taarifa hizi si za kweli tunawaomba utulivu. Soudy yupo salama na amepumzika nyumbani kwake,"
alieleza taarifa hiyo.
Soudy Brown amekuwa maarufu zaidi hasa pale alipoaza kuonekana Clouds TV kupitia kipindi cha Shilawadu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK