Harmonize Afanya Kweli Aamua Kumvisha Pete ya Uchumba Sarah

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harmonize Afanya Kweli Aamua Kumvisha Pete ya Uchumba SarahMsanii wa Bongo Fleva, Harmonize ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo uitwao 'Kainama' amevisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi, Sarah.

Muimbaji huyo kutokea WCB, ameweka video kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonyesha akimvisha Sarah pete hiyo, huko wote wawili wakiwa na nyuso zenye furaha.

Utakumbuka kuwa tukio hilo linakuja siku kadhaa mara baada ya Sarah kuonekana kwenye video ya wimbo wa Harmonize unaokwenda kwa jina la Niteke ambao unapoatika katika EP yake aliyoitoa mwaka huu yenye nyimbo nne pekee.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad