AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota wanne ndio wanatajwa kuwa ndio wamekalia kuti kavu katika mipango hiyo ya Solskjaer ya kutembeza panga. Mastaa hao ambao wanalaumiwa kwa kushuka kiwango katika siku za LONDON, England Panga kali Man United karibuni ni pamoja na Chris Smalling, Ashley Young, Nemanja Matic na Romelu Lukaku.
Solskjaer inasemekana amechukizwa na kitendo cha mastaa hao kuporomoka kiwango. Kocha huyo aliteuliwa kufundisha kwa muda timu hiyo, Desemba mwaka jana ambapo alipata matokeo mazuri mwanzoni na wachezaji kuonekana kujituma. Hata hivyo, upepo uligeuka ghafl a baada ya kupewa mkataba wa kudumu, Machi 28, mwaka huu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK