AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mmiliki wa jengo hilo la kampuni ya Midwest Commercial Funding walipeleka barua Sony Music ambayo ni kampuni ya inayosimamia kazi za R.Kelly kwa lengo la kufidia deni lao. Inaelezwa kuwa kampuni ya Sony ndio inayoishikilia akaunti ya fedha za R. Kelly hivyo wameilipa kampuni ya Midwest kiasi cha zaidi ya shilingi Milioni 3oo za Kitanzania na kubakiwa na deni la kiasi cha zaidi ya shilingi Milioni 120.
Kampuni ya Widwest imeiomba Mahakama iwape ruhusa ya kuzichukua fedha zilizobaki kutoka kwenye kampuni ya Sony ili wamalizane moja kwa moja na mwimbaji huyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK