AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sosopi ametoa kauli hiyo muda mfupi baada ya Jeshi la polisi kuzuia kongamano la CHASO, UDSM, kwa madai kwamba taarifa za kiintelijensia kwamba hapatakuwa na usalama.
Sosopi ameeleza kwamba Polisi walianza kuzunguka eneo lilipokua likitarajiwa kufayika Kongamano hilo tangu saa 12 asubuhi.
"Nimezungumza na OCD wa Magomeni, sababu za kuzuia ni kwa Taarifa za kiintelijensia kwamba hapatakuwa na Usalama. Nalaani sana hiki kitendo cha polisi kuendelea kufanya Double standards", amesema Sosopi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK