Intelijensia Yawabana CHADEMA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Intelijensia yawabana CHADEMA
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA, Patrick Ole Sosopi amelaani kitendo cha Jeshi la polisi kuendelea kufanya vitendo vya upendeleo na kutoweka usawa.


Sosopi ametoa kauli hiyo muda mfupi baada ya Jeshi la polisi kuzuia kongamano la CHASO, UDSM, kwa madai kwamba taarifa za kiintelijensia kwamba hapatakuwa na usalama.

Sosopi ameeleza kwamba Polisi walianza kuzunguka eneo lilipokua likitarajiwa kufayika Kongamano hilo tangu saa 12 asubuhi.

"Nimezungumza na OCD wa Magomeni, sababu za kuzuia ni kwa Taarifa za kiintelijensia kwamba hapatakuwa na Usalama. Nalaani sana hiki kitendo cha polisi kuendelea kufanya Double standards", amesema Sosopi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad