AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashambulio hayo mfululizo yalitokea katika makanisa na hoteli huku yakiwaacha watu wengine 500 majeruhi kwa niaba ya Polisi.
Kabla ya tukio hilo Taifa hilo pia lilipitia kipindi cha ukimya wa dakika tatu na kutangazwa kwa hali ya hatari ili kujilinda zaidi na mwendelezo wa mashambulizi yanayoweza kujitokeza.
Serikali ya Sri Lanka imekilaumu kikundi cha Kiislamu cha nchini humo cha National Thowheed Jamath (NTJ) kwa kuhusika na mashambulio hayo.Mpaka sasa polisi nchini humo wanawashikilia washukiwa 40 wanaohusishwa na matukio hayo ya mashambulizi.
Msemaji wa Serikali hiyo amesema miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Raia wa Syria.
Katika hatua nyingine waziri wa ulinzi wa nchi hiyo, Ruwan Wijewardene ameliambia Bunge leo, Jumanne kuwa “uchunguzi wa awali” unaonesha kuwa milipuko hiyo mfululizo inauhusiano na kisasi cha kushambuliwa kwa msikiti huko Christchurch, New Zealand, mwezi Machi. Hakutoa taarifa zaidi juu ya hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK