Vladimir Putin na Kim Jong-Un Waahidi Mahusiano Thabiti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vladimir Putin na Kim Jong-un waahidi mahusiano thabiti
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un na Rais wa Urusi Vladimir Putin wameahidi kuboresha mahusiano katika mkutano wao wa kwanza kuwahi kufanyika.

Wawili hao walisalimiana kwa mikono katika kisiwa cha Russky karibu na mji wa bandari wa Vladivostok, mashariki mwa Urusi.

Ikulu ya Rais wa Urusi ya Kremlin imesema kuwa watajadili mpango wa kuacha matumizi ya nyuklia lakini bwana Kim inasemekana pia yuko huko kuomba msaada baada ya mazungumzo na Marekani kutozaa matunda.

Rais wa Marekani Donald Trump na Bwana Kim walikutana Hanoi mapema mwaka huu lakini wakashindwa kufikia mapatano yoyote.

Kiongozi wa Korea Kaskazini alikaribishwa kwa upendo na maafisa wa Urusi alipowasili Jumatano
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad