Wazee Mkoani Iringa Waishushia Maombi Bombardier

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Image result for BOMBARDIERWAKATI wa Mkoa wa IRINGA jana, Aprili 29, 2019, walipokea ndege ya kwanza ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Bombardier Dash 8 Q400, baada ya kutua katika uwanja wao, mapokezi ya ndege hiyo yaliongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Ally Hapi, wananchi pamoja na wazee wa kimila wa mkoa huo.



Katika mahojiano, wazee hao wamemmwagia sifa Rais Dkt. John Magufuli na kumshukuru kwa kutekeleza ahadi zake na kwamba ndege hiyo wameiona ni nzuri sana.



Aidha, wazee hao walifanya maombi maalumu kwa Rais Magufuli, Mkuu wa Mkoa, Ally Hapi pamoja na ndege za hiyo ya AIR TANZANIA.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad