AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika mkutano na wadau wa mifuko ya Plastiki wakiwemo wazalishaji Waziri Makamba amesema katazo hilo halitahusisha vifungashio vya Plastiki.
Waziri Makamba amesema katazo hilo ni la kisheria na halina athari zozote kwa uchumi wa nchi na badala yake kutakuwa na fursa mpya ya kutengeneza mifuko mbadala ambayo haina athari kwa mazingira.
Katika hatua nyingine Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Josephat Kakunda amesema zipo athari kubwa za kiafya ikiwemo kupata kansa iwapo mifuko ya Plastiki itatumika kufunikia Chakula ili kisipoe ingawa watu wengi wekuwa wakiitumia mifuko hiyo kufunikia Chakula.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK