AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni kumekuwa na taarifa mbalimbali zenye kuleta mkanganyiko kwa mashabiki wa soka hasa wa klabu ya Yanga kuhusu klabu yao.
Taarifa hizo nyingi zinaenezwa katika mitandao ya kijamii, ambapo kurasa mbalimbali zinatoa taarifa za usajili kuelekea msimu ujao na michango ya klabu hiyo inayoendelea hivi sasa ambazo baadaye ziankuja kukanushwa na uongozi wa klabu.
Jana April 22 klabu ya Yanga imekanusha taarifa mbili zilizosambazwa na page ambazo si rasmi za klabu hiyo katika mitandao ya kijamii. Taarifa ya kwanza ni kuhusu usajili wa mchezaji Jacques Tuyisenge kutoka klabu ya Gor Mahia, ambapo ukurasa huo wa Facebook ambao sio rasmi uliweka picha yake na kuweka maneno "time will tell" yakimaanisha kuwa muda utazungumza.
Taarifa nyingine ya pili ambayo Yanga imeikanusha kupitia ukurasa wake wa Instagram ni ya michango, ambapo taarifa hiyo 'fake' imeeleza kuwa kamati ya michango imekamilisha mkakakati kwa asilimia 100 na kufikisha jumla ya Tsh. Bilioni 2 na kuongeza kuwa imeshapokea barua tatu kutoka kwa matajiri wanaotaka kuwekeza katika klabu hiyo huku kila mmoja akiwa na ofa ya Tsh Bilioni 200.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK