Zari Alikuwa Anatoka na Peter wa Psquare, Niliwahi Kukuta Sms - Diamond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Muziki Bongo, Diamond Platnumz ameeleza kile kilichotokea kati yake na mzazi mwenzie Zari The Bosslady kudi kuachana kwao. .

"Namheshimu Zari ni mzazi mwenzangu, alikuwa wife material, alikuwa anatoka na Peter wa Psquare, niliwahi kukuta sms nikamuuliza. Alikuwa anachepuka pia na Trainer wake na alikua anamleta hadi kwangu, lakini sijawahi kufunguka, " Diamond ameiambia Wasafi FM.

Ameendelea kwa kueleza kuwa, "Na ukweli sijawahi kuachwa na Mwanamke, Ukizingua nitakupiga matukio utaondoka mwenyewe".
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad