Ander Herera Athibitisha Kuondoka Manchester United

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mchezaji wa Manchester United, Ander Herrera amethibitisha kuondoka ndani ya timu hiyo pale mkataba wake utakapofika kikomo mwishoni mwa msimu huu.



Kiungo huyo wa Hispania mwenye umri wa miaka 29  alijiunga na United akitokea kwenye klabu ya Athletic Bilbao mwaka 2014 na kufanikiwa kucheza jumla ya michezo 189 na kufunga mabao 20 huku akitoa pasi za mwisho 25 zilizozalisha magoli.

”Kuna rangi nyekundu, nililijua hilo tangu mara ya kwanza tu kucheza hapa. Nilijiskia fahari pale tu mashabiki walipoamua mimi kuwa sehemu ya historia ya klabu hii. Muda wote nilikuwa nikiiwakilisha, nafahamu inamaanisha nini. Ahsante kwa miaka yote mitano.” Ander Herera amesema hayo kupitia akaunti hiyo.

Herrera alikuwa sehemu ya kikosi cha United kilichotwaa ubingwa wa FA Cup mwaka 2016 ikifuatiwa na ubingwa wa EFL Cup ikifuatiwa na FA Community Shield 2017 pamoja na Europa League 2017 ambapo alitajwa na klabu yake kuwa mchezaji bora wa msimu wa mwaka 2016/17 . Lakini pia mwaka huo huo ametunukiwa tuzo ya Sir Matt Busby Player of the Year na UEFA Europa League Squad of the Season 2017.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad