Baby Wangu Majizo Sio Tajiri..Ndoa yetu Itakuwa Ndogo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu' amesema kuwa yeye na Mchumba wake, Majizo ni watu wa kawaida hivyo watafunga ndoa ya kawaida.

Lulu amesema kuwa kutakuwa na watu wa upande wa kike na wa kiume na baadhi ya marafiki zao.

“Mimi na mwenza wangu Majizzo bado hatujaoana. Sisi tabia zetu zinaendana ni watu wa kawaida hivyo tutafunga ndoa kawaida yaani ndugu upande wa kiume na upande wa kike pamoja na marafiki zetu baadhi," Lulu ameiambia Clouds FM.
"Baby wangu sio tajiri bali ni mtu ambaye ameanzia chini kimaisha mpaka kufika alipofika na am proud kwa hilo.”


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad