AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
WAKATI wengine wakisubiri penzi la Mbongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ na mama mtoto wake Fahyma waachane, mambo yamekuwa tofauti kwani mrembo huyo amekiri kumpa mambo adimu jamaa huyo na kusema kwamba hata iweje hawezi kuachika.
Akipiga stori na SHUSHA PUMZI, Fahyma alisema, wanaotamani aachane na mzazi mwenzake wanapoteza muda, kwa vile hawawezi kuachana leo wala kesho kutokana na mapenzi ya dhati anayompata, hivyo ni bora wakafanya mambo mengine ya maana kuliko kuendelea kumtamani mwanaume wake.
“Unajua watu wengi hawapendi mapenzi yangu mimi na Rayvanny, yaani wanatamani hata kesho tuachane, lakini hicho kitu hakiwezekani kwa sababu mambo ninayompa tukiwa wawili sio rahisi kunisahau, kwa hiyo wanapoteza tu muda. Bora waendelee kufanya vitu vyao vya maana kuliko kufuatilia maisha yetu,” alisema.
STORI: Memorise Richard
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK