AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii kutoka Bongo Movie, Irene Uwoya amewaonya wanaomsema vibaya mwanaye wa kiume, Krish kutokana na uzuri wake akiwaambia kuwa wakiendelea watakiona cha mtema kuni.
Irene amesema anaumizwa mno na watu wanaomsema vibaya Krish kwa maneno yasiyofaa kwa mtoto kwa sababu tu anaonekana mzuri hivyo kuahidi kuwaadabisha wanaofanya hivyo.
“Unakuta mtu anamuombea maneno mabaya Krish, eti kisa nimezaa mtoto mzuri, naomba waache na mtu akitaka kunivuruga, basi amuongelee Krish vibaya,” ameeleza
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK