Irene Uwoya Atoa Onyo Kali kwa Wanaomsema Vibaya Mwanaye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii kutoka Bongo Movie, Irene Uwoya amewaonya wanaomsema vibaya mwanaye wa kiume, Krish kutokana na uzuri wake akiwaambia kuwa wakiendelea watakiona cha mtema kuni.

Irene amesema anaumizwa mno na watu wanaomsema vibaya Krish kwa maneno yasiyofaa kwa mtoto kwa sababu tu anaonekana mzuri hivyo kuahidi kuwaadabisha wanaofanya hivyo.

“Unakuta mtu anamuombea maneno mabaya Krish, eti kisa nimezaa mtoto mzuri, naomba waache na mtu akitaka kunivuruga, basi amuongelee Krish vibaya,” ameeleza
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad