Jacqueline Mengi Amzungumzia Dkt. Mengi Leo kwa Mara ya Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mara ya kwanza Jacqueline Mengi amzungumzia Dkt. Mengi
Tangu kutokea kifo cha Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni za IPP Dkt. Reginald Mengi, mkewe ambaye ni Jacqueline Mengi amekuwa kimya kwenye mitandao ya kijami, sasa leo kwa mara ya kwanza amevunja ukimya huo.

Jacqueline Mengi ambaye alipata kuwa Miss Tanzania mwaka 2000 ametumia mtandao wa kijamii wa Twitter kueleza kuwa leo ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Dkt. Mengi.
Kwa mara ya kwanza Jacqueline Mengi amzungumzia Dkt. Mengi


“Leo tungekuwa tuna kusheherekea wewe, kama nikifumba macho yangu naweza kuona namna unavyo tabasamu pale tunapokuimbia heri ya kuzaliwa. Hakuna neno la kuelezea ni kiasi gani Mimi na watoto tulivyokukumbuka, kuamka kila siku bila wewe. Heri ya kuzaliwa mpenzi wangu wa kweli, milele mioyoni mwetu.” ameeleza.

Marehemu Dkt Reginald Mengi alifariki May 2,2019 akiwa Falme za Kiarabu Dubai kwa ajili ya matibabu na leo hii May 29,2019 angekuwa akitimiza miaka 75.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad