Kijana amekamatwa kwa kula bure KFC miaka 2 akidai katumwa kuonja na makao makuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanafunzi wa miaka 27 anayesoma katika chuo cha UKZN (University Of KwaZulu Natal) amekamatwa na atafikishwa Mahakamani kwa kula bure katika migahawa ya KFC mjini Durban Afrika Kusini akidai kuwa ametumwa kutoka makao makuu kupima ubora wa Chakula.

Kijana huyo amedaiwa kuwa amekuwa na utamaduni wa kuwadanganya wahudumu wa KFC kwa miaka akijidai kuwa ametumwa kuonja ili kubaini chakula hicho, kipo katika viwango vya ubora vinavyotakiwa na makao makuu ya KFC.

Mtandao wa xpouzar.com ambao umeripoti habari hiyo umeeleza kuwa kijana huyo ilikuwa si rahisi kumgundua, ndio maana amefanya tabia hiyo kwa miaka miwili kutokana na uhodari wake wa kuwaadaa wahudumu, kumjua haikuwa rahisi kutokana anakuja na kitambulisho cha mfanyakazi wa KFC kutoka makao makuu akiwa amevaa smart na gari aina ya Limo ambalo rafiki yake alikuwa ni dereva wa muda (Deiwaka).

“Alikuwa akija tulikuwa tunajitahidi kadri ya uwezo wetu kuhakikisha hatumkwazi, alikuwa tunamuamini kwa sababu alikuwa anajiamini sana hata migahawa jirani ya KFC inamfahamu, akija alikuwa anaelekea moja kwa moja jikoni na kuanza kuangalia kama kila kitu kipo sawa na kuomba sample ya vyakula anavyotaka inawezekana aliwahi kufanya kazi KFC maana anajua kila kitu” alisema moja ya watumish wa KFC
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad