AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaelezwa kuwa Jumatano ya May 29,2019 Kodak Black alifikishwa Mahakamani na Jaji Mkuu aliamua kutoa maamuzi kuhusu kesi hiyo na kuelezwa kuwa Kodak atabaki akitumikia kifungo chake cha miaka 10 gerezani mpaka pale kesi yake itakaposikilizwa tena mwezi September mwaka huu.
Hata hivyo May 21,2019 Kodak alifunguliwa shtaka lingine akiwa gerezani baada ya Promota Nicholas Fitts kudai kuwa alishindwa kutumbuiza kwenye matamasha aliyopangiwa kwa mara kadhaa na kuvunja makubaliano aliyokuwa ameyaweka ndani ya mkataba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK