Kodak Black Anyimwa Dhamana, Arudi jela Kutumikia Kifungo Chake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kodak Black Anyimwa Dhamana, Arudi jela Kutumikia Kifungo Chake
Inaripotiwa kuwa Rapper Kodak Black amenyimwa dhamana kutokana na kesi yake ya kumiliki silaha kinyume cha sheria ambapo pia alidaiwa kusababisha maafa kwenye U.S. Marshals na silaha hizo.

Inaelezwa kuwa Jumatano ya May 29,2019  Kodak Black alifikishwa Mahakamani na Jaji Mkuu aliamua kutoa maamuzi kuhusu kesi hiyo na kuelezwa kuwa Kodak atabaki akitumikia kifungo chake cha miaka 10 gerezani mpaka pale kesi yake itakaposikilizwa tena mwezi September mwaka huu.

Hata hivyo May 21,2019 Kodak alifunguliwa shtaka lingine akiwa gerezani baada ya Promota Nicholas Fitts kudai kuwa alishindwa kutumbuiza kwenye matamasha aliyopangiwa kwa mara kadhaa na kuvunja makubaliano aliyokuwa ameyaweka ndani ya mkataba.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad