AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli ya Mbatia ambaye pia ni mtaalamu wa Majanga inakuja siku chache baada ya Mabweni mawili katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Ashira iliyopo Marangu Mkoani Kilimanjaro kuungua moto na kuteketeza vitu mbalimbali yakiwemo magodoro, shuka na nguo za Wanafunzi.
Tayari wadau mbalimbali wameendelea kujitokeza kutoa msaada wa kibinadamu kwa Wanafunzi 73 , waathirika wa ajali hiyo ya moto miongoni mwao ni Mbunge wa Jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia aliyekabidhi msaada wa mabegi 73 kwa ajili ya kuhifadhi nguo za wanafunzi hao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK