AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge amemtaka Mbunge huyo kuwasilisha ushahidi bungeni Jumatatu 20/5/2019 .
Awali Naibu Waziri wa Viwanda, Mhandisi Stella Manyanya alisimama kuomba mwongozo wa Spika kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Mbunge Cecil Mwambe, ambapo Naibu Waziri Manyanya alieleza kuwa kama kweli ikithibitika amehusika na vitendo vya rushwa yupo tayari kuwajibika
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK