Mbunge CHADEMA atakiwa kuwasilisha ushahidi Bungeni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Ndanda (CHADEMA), Cecil Mwambe amesema yupo tayari kuwasilisha ushahidi Bungeni kuwa Naibu Waziri wa Viwanda, Mhandisi Stella Manyanya amehusika katika vitendo vya kuomba rushwa.

Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge amemtaka Mbunge huyo kuwasilisha ushahidi bungeni Jumatatu 20/5/2019 .

Awali Naibu Waziri wa Viwanda, Mhandisi Stella Manyanya alisimama kuomba mwongozo wa Spika kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Mbunge Cecil Mwambe, ambapo Naibu Waziri Manyanya alieleza kuwa kama kweli ikithibitika amehusika na vitendo vya rushwa yupo tayari kuwajibika
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad