AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Takriban miili kumi ya wavuvi ambao inadaiwa walikatwa panga hadi kufa na kikundi cha kigaidi cha Boko Haram ilipatikana jana karibu na mji wa Maiduguri kaskazini mashariki mwa Nigeria, Afisa wa usimamizi wa dharura wa eneo hilo alisema.
Kundi hilo la wavuvi walishambuliwa siku ya Alhamisi huko Alou Dam,kilomita 4 kutoka Maiduguri,mji mkuu wa kaskazini mwa Borno.
Bello Danbatta, mkuu wa Shirika la Usimamizi wa Dharura la Borno, alisema kuwa wengi wavuvi walikuwa wametoka kijiji jirani cha Konduga.
Kundi hilo la kigaidi la Boko Haram limesababisha vifo vya takriban watu 20,000 tangu mwaka wa 2009 na kuwaacha watu zaidi ya milioni 2.6 bila makazi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK