Msemaji wa Serikali Azungumzia Kifo cha Dkt. Reginald Mengi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas ameeleza kuguswa na kifo cha Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi.

"Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa IPP, Mzee Reginald Mengi. Kama alivyopata kusema yeye mwenyewe siku za uhai wake kuwa watu wanaoacha alama hawafi, basi mawazo, falsafa, ubunifu na kujitoa kwake vitaendelea kuishi nasi," ameeeleza Dkt. Abass.

Taarifa rasmi zinaonyesha kuwa Mzee Reginald Abraham Mengi amefariki dunia akiwa huko Dubai (UAE). Mzee Mengi alizaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad