AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ametuma salamu za Pole kwa familia na Wafanyakazi wa IPP Media kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni hiyo.
Mengi amefariki dunia usiku wa kuamkia Leo Mei 2, 2019 akiwa Dubai
"Nimesikitishwa na taarifa za kifo cha Mzee na Rafiki yangu Dkt. Reginald Mengi. Nitamkumbuka kwa mchango wake mkubwa ktk maendeleo ya Taifa letu na maono yake yaliyopo ktk kitabu chake cha I Can, I Will, I Must. Poleni wanafamilia, wafanyakazi wa IPP na Jumuiya ya Wafanyabishara. "Ameandika Rais Magufuli
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK