AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Za Motomoto, Muna ambaye sasa hivi amefungua duka la watoto la Patrick Classic kwa ajili ya kumuenzi marehemu mwanaye Patrick, alisema watu wengi wakiona mtu unajishughulisha na biashara wanaanza madongo kuwa umeacha ulokole.
“Unajua hakuna jema unaweza kufanya kwa mtu akakuelewa kabisa na wengi wanapenda kukuona unashinda kanisani ndiyo waamini kuwa wewe mlokole, kumbe wanatafisiri tofauti kabisa kwa sababu kila mmoja anapaswa kufanya kazi,” alisema Muna.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK