Muna Ulokole Siyo Kujibweteka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muna Ulokole Siyo Kujibweteka
MWIGIZAJI wa Bongo Muvi ambaye kwa sasa amemrudia Mungu, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema watu wengi wanafikiri mtu akiokoka, basi muda wote anashinda kanisani tu na siyo kufanya kitu kingine ambacho kinaweza kumsaidia kwenye maisha.

Akizungumza na Za Motomoto, Muna ambaye sasa hivi amefungua duka la watoto la Patrick Classic kwa ajili ya kumuenzi marehemu mwanaye Patrick, alisema watu wengi wakiona mtu unajishughulisha na biashara wanaanza madongo kuwa umeacha ulokole.

“Unajua hakuna jema unaweza kufanya kwa mtu akakuelewa kabisa na wengi wanapenda kukuona unashinda kanisani ndiyo waamini kuwa wewe mlokole, kumbe wanatafisiri tofauti kabisa kwa sababu kila mmoja anapaswa kufanya kazi,” alisema Muna.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad