AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa muda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa Rihanna anaanda Albamu ya Reggae, Mwaka jana pia alidokeza lakini akapiga tena kimya.
Kupitia mahojiano yake mapya na jarida la ‘NY Times’ Rihanna amethibitisha kuwa anaandaa Albamu ya Reggae, Pia amefunguka kuwa bado hajajua jina la Albamu japo mashabiki wengi wanataka iitwe “R9” kwasababu ni Albamu yake ya 9.
Pia alipoulizwa kama ana mpango wowote wa kufanya kazi na Drake alisema sio siku yoyote ya hivi karibuni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK