AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shekh Hilal Shaweji (Shekh Kipozeo) amemuambia Rais John Pombe Magufuli anampenda sana kutokana na juhudi anazozifanya.
Amesema wakati Magufuli akiingia madarakani kulikuwa hakuna ndege hata moja lakini hadi hivi sasa zimefika nane hivyo ana kila sababu ya kumuambia nampenda.
“I love you so much, ilikuwa ni ndoto yangu kukutana na wewe ili nikuambie maneno haya leo niko mbele yako naomba nikuambie hivyo.”
“Nilipata nafasi ya kuzionja ndege hizo, nilipanda kwenda Mwanza na kurudi na nikapanda kwenda Burundi, Mwenyezi Mungu akubariki sana mzee wetu pamoja na viongozi wetu,” amesema Kipozeo.
Shekh Kipozeo ameyasema hayo leo katika hafla ya Shirika la SimuTanzania (TTCL) kutoa gawio kwa Serikali.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK