AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Haya yanajiri siku moja baada ya Mueller kufafanua sababu iliyomzuia kumfungulia Rais Trump mashitaka ya kujaribu kuzuia mchakato wa kimahakama. Kupitia ukurasa wake maarufu wa mtandao wa twitter, Trump ameandika leo kwamba anafanyiwa unyanyasaji ambao haujawahi kumkabili rais mwingine katika historia ya Marekani.
Vile vile ameukosoa uchunguzi ulioongozwa na Robert Mueller, akiuita 'windo la kumsaka mchawi' ambalo limegharibu dola milioni 40. Akizungumza hapo jana kwa mara ya kwanza tangu kuchapishwa kwa ripoti ya uchunguzi wake, Mueller alisema kumfungulia mashtaka Trump haikuwa mojawapo ya malengo ya uchunguzi, kwa sababu kanuni za wizara ya sheria ya Marekani haziruhusu uchunguzi dhidi ya rais aliyeko madarakani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK