Aomba Fidia Serikalini Baada ya Kunyofolewa Nyeti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Julius Somoire (26) kutoka nchini Kenya amenusurika kifo baada ya kuvamiwa na kung'atwa na fisi sehemu zake za siri ambapo ameitaka serikali kumfidia kufuatia majeraha mabaya aliyoyapata.

Mbali na kumjeruhi sehemu zake za siri, fisi huyo pia alimng'ata kwenye mikono na miguu pindi alipojaribu kuwaokoa mifugo wake aliokuwa akiwachunga eneo la Isinya Jumamosi, Juni 22, 2019.

 "Fisi huyo aliniuma sehemu zangu za siri, aliniumiza sana na sijui iwapo nitarejelea hali yangu ya kawaida, pia aliniuma kwenye miguu na mikono na kuniacha na majeraha mabaya", amesema Somoire. 

Shirika la Wanyama Pori nchini humo (KWS) kutokana na shambulizi hilo limetakiwa kutafuta suluhu ya haraka ya kuwazuia wanyama pori kuvamia makazi ya watu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad