Baada ya Harmonize, Vanessa Mdee naye kufanya yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii nyota wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee anajiandaa kuachia E.P yake (nyimbo chache zinazounganishwa pamoja) ambayo ameiita Expensive.

Katika uthibitisho wa hilo, ametuonesha Cover art ya EP hiyo ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni. Habari njema ni kwamba ndani ya EP hiyo pia Vanessa  ana Collabo na mdogo wake Mimi Mars.

Tayari Mimi Mars alithibitisha ujio wa Collabo hiyo akiwa kwenye mahojiano na kituo kimoja cha redio hapa nchini mwezi mei mwaka huu na pia alisema Collabo hiyo ndiyo iliyobeba jina la EP hiyo.

Vanessa Mdee atakuwa msanii wa pili kutoka kwenye Bongo Fleva kwa mwaka huu kuachia EP baada ya Harmonize aliyeachia ya kwake inayokwenda kwa jina la Afro Bongo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad