Familia ya Masogange Yafunguka KUTOPOKEA Pesa Yoyote iliyochangwa Kutoka kwa Wasanii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Familia ya marehemu Agnes Gerald 'Masogange' imesema kwamba mpaka sasa haijapokea pesa yoyote iliyochangwa kutoka kwa wasanii.

Steve Nyerere aliweka wazi kuwa pesa hiyo itatolewa pale mtoto wa Agnes atakapoanza kidato cha kwanza, jambo ambalo mpaka sasa halijafanyika. 

Source:Swahili Forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad