Malaika Ataka Watu Wapendwe Wakiwa Hai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sexy lady kunako Bongo Fleva, Diana Exavery ‘Malaika’ amesema kuwa ni muhimu kumpenda mtu akiwa hai, lakini akifa ukasema unampenda, huko ni kumkosea. Akizungumza na Gazeti la Ijumaa, Malaika alisema amejifunza vingi mno kwenye maisha hivyo hakuna sababu ya kuwa na visasi wala vinyongo maana hapa duniani watu wanapita

tu.Napenda sana mtu aniambie ananipenda nikiwa ninamuona na mimi nimjibu, lakini siyo siku sipo duniani kila mmoja anajifanya ananipenda, hiyo siyo sawa, tuthaminiane  ukiwa na nguvu zetu,” alisema Malaika
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad