AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mei 30, 2019 NEC ilitoa tangazo la ajira hizo na kuwataka Watanzania wenye elimu ya kidato cha nne na umri wa kati ya miaka 18 na 45 kuomba nafasi hizo kupitia tovuti yao.
Sifa nyingine zilizotakiwa ni uwezo wa kutumia kompyuta na awe hajawahi kutiwa hatiani kwa kosa la jinai pia awe na uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yenye usimamizi mdogo.
Hata hivyo, taarifa ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk Athuma Kihamia aliyoitoa leo Alhamisi Juni 6, 2019 imesema mchakato wa ajira hizo umesitishwa hadi pale itakapotangazwa tena.
“Tume inapenda kutoa shukran zake kwa wale wote walioleta maombi yao ya kazi na inaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza,” amesema Dk Kihamia.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK