Rais wa FIFA Achaguliwa Bila Kupingwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Gianni Infantino amechaguliwa kuongoza shirikisho la soka duniani (FIFA), kwa muhula wa pili wa miaka minne, utakaokamilika mwaka 2023. 


Hatua hii imekuja baada ya kukosekana kwa mpinzani wa Infantino, wakati wa mkutano mkuu wa FIFA unaoendelea jijini Paris nchini Ufaransa. 


Infantino, mwenye umri wa miaka 49 raia wa Uswisi na Italia, alichaguliwa kuwa rais wa FIFA mwaka 2016 baada ya kuondoka kwa rais wa zamani Sepp Blatter. 


Baada ya kuchaguliwa tena, Infantino amesema kuwa, wakati wa miaka mitatu ambao amekuwa madarakani, taswira ya soka duniani imebadilika na kuwa na maendeleo makubwa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad