AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mcheza soka huyo wa zamani, amekamatwa mapema leo na kuwekwa kizuizini huko Nanterre, Paris, nchini Ufaransa
Platini, aliyeongoza Uefa tangu mwaka 2007 hadi 2015, kwa sasa atumikia zuio la kutojihusisha na soka kwa miaka minne baada ya kukutwa na hatia ya kupokea rushwa kutoka kwa rais wa zamani wa shirikisho la soka duniani (FIFA), Sepp Blatter
Katika hali inayodaiwa kuwa ni ya kushangaza, mnamo Desemba 2010, Qatar ilishinda na kupewa idhini ya kuandaa michuano hiyo ya mwaka 2022.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK