Ruby Afunguka Kuhusu MPENZI wake Kupigiwa Simu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji mwenye sauti ya kuvutia kwenye Bongofleva, Ruby, amefunguka kuwa sio kwamba anaringa kama watu wanavyosema bali yeye sio mtu wa marafiki kwasababu ameshawahi kushuhudia uongo mkubwa mbele ya mpenzi wake.

Akiongea leo kwenye DADAZ ya East Africa Television amefunguka kuwa, yeye amewahi kushuhudia mtu akimpigia simu mpenzi wake na kumwambia ameingia sehemu ya starehe wakati huo yeye yupo na mpenzi wake.

''Mimi sina mashauzi wala kiburi lakini sina marafiki na niko tofauti na watu wengi hata wasanii wenzangu na haimanishi mimi ni special lakini inanifanya niepukane na watu wabaya kwangu'', ameeleza.

Kwa upande mwingine Ruby amesema kuwa anajipanga kuachia EP yake kabla ya mwaka huu kusisha. ''Nipo naandaa ngoma zangu kwaajili ya EP na nitaitoa, kwahiyo sijatoa ngoma hivi karibuni kwasababu hiyo, ila kazi zipo watu wasubiri''.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad