Shambulizi Kwenye Kituo cha Upekuzi Laua Polisi Kumi Nchini Misri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maafisa wa usalama nchini Misri wamesema leo wapiganaji wa makundi ya kiislam wamekishambulia kituo kimoja cha upekuzi kaskazini ya rasi ya Sinai na kuwauwa polisi 10.

Maafisa hao wamesema shambulizi hilo limetokea mapema asubuhi ya leo wakati waislam katika mji wa al-Arish walipokuwa wakiendelea na ibada ya sikuu ya Eid al-Fitr inayosherehekewa baada ya kumalizaka kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Hakuna kundi lililodai mara moja kuhusika na shambulio hilo. Maafisa hao wamesema washambuliaji walikivamia kituo cha upekuzi na kisha kutoroka na gari lenye silaha lakini ndege ya kivita iliwafukuza katika eneo la jangwa na kufanikiwa kuwauwa washambuliaji watano.

Kwa miaka kadhaa Misri imekuwa ikipambana na wapiganaji wa kundi la itikadi kali lenye mafungamano na kundi linalojiita Dola la Kiislam lenye makao yake kwenye jimbo la kaskazini la Sinai
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad