AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maafisa hao wamesema shambulizi hilo limetokea mapema asubuhi ya leo wakati waislam katika mji wa al-Arish walipokuwa wakiendelea na ibada ya sikuu ya Eid al-Fitr inayosherehekewa baada ya kumalizaka kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Hakuna kundi lililodai mara moja kuhusika na shambulio hilo. Maafisa hao wamesema washambuliaji walikivamia kituo cha upekuzi na kisha kutoroka na gari lenye silaha lakini ndege ya kivita iliwafukuza katika eneo la jangwa na kufanikiwa kuwauwa washambuliaji watano.
Kwa miaka kadhaa Misri imekuwa ikipambana na wapiganaji wa kundi la itikadi kali lenye mafungamano na kundi linalojiita Dola la Kiislam lenye makao yake kwenye jimbo la kaskazini la Sinai
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK