AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajibu na Mkude hawakuitwa katika kikosi cha kocha Emmanuel Amunike kilichoboronga Afcon kule Misri, na jana walikuwa kivutio kikubwa walipoonekana mazoezini. Nje ya Bocco, Mkude na Ajibu wachezaji wengine wa Simba waliowasili ni Aishi Manula, Gadiel Michael, Hassan Dilunga na Erasto Nyoni.
Kaimu kocha mkuu wa Stars, Ettiene Ndayiragije amesema: “Wachezaji hawa wa Simba wameingia na wako vizuri, nimewaona wakifanya vizuri na tunaendelea kuwajenga ili tushinde mechi hiyo.
“Hii ni nafasi yetu sisi kulipiza kisasi kwao baada ya kupoteza kule Misri ambapo tulipotea kidogo tu, ninaamini kwamba kwa jinsi tulivyo, basi tutafanya vizuri mechi hiyo.”
“Hadi sasa mchezaji Mudathir Yahya hatakuwepo kwa sababu hajafanya mazoezi na wenzake na bado ana maumivu, lakini wengine wote wapo vizuri kwa ajili ya mechi hiyo.” Stars itavaana na Kenya Jumapili Uwanja wa Taifa, Dar kabla ya marudiano Agosti 4 nchini humo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK