AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo Julai 16, kamanda wa Polisi mkoani humo, Hamis Issah amesema, tukio hilo limetokea Julai 15, baada ya watoto hao wenye umri kati ya miaka nane na kumi, kufanyiwa ukatili huo wakati wa mapumziko.
Kwa mujibu wa kamanda imeelezwa kuwa, watoto hao walitoroka shuleni na baada ya kurejea, mmoja wa wale watoto alikuwa anatembea huku akichechemea na baada ya kuhojiwa walidai wametoka kwa babu Yahya.
Na kwamba uchunguzi wa awali, umeonyesha watoto hao kubakwa, huku mmoja akiwa amelawatiwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK