Babu wa miaka 58, abaka na kulawiti watoto shuleni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro, linamshikilia mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Yahya Idd, Mkazi wa Njoro kwa tuhuma za kubaka na kulawiti watoto 5, wanaosoma darasa la tatu katika shule ya Msingi Chemchem, iliyopo Manispaa ya Moshi.

Akizungumza leo Julai 16, kamanda wa Polisi mkoani humo, Hamis Issah amesema, tukio hilo limetokea Julai 15, baada ya watoto hao wenye umri kati ya miaka nane na kumi, kufanyiwa ukatili huo wakati wa mapumziko.

Kwa mujibu wa kamanda imeelezwa kuwa, watoto hao walitoroka shuleni na baada ya kurejea, mmoja wa wale watoto alikuwa anatembea huku akichechemea na baada ya kuhojiwa walidai wametoka kwa babu Yahya.

Na kwamba uchunguzi wa awali, umeonyesha watoto hao kubakwa, huku mmoja akiwa amelawatiwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad