Balozi Kagasheki Arusha Kijembe Omba Kwa Makini Usije Kuwa Mfungwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kagasheki, amerusha jiwe gizani akisema omba kwa umakini usije kuwa mfungwa wa maombi yako kesho.

Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter alisema unachokiomba leo na kupatiwa kinaweza kuwa na madhara kwako kesho.

Aliandika ujumbe unaosomeka hivi:” Mara nyingi mwenyezi Mungu, Mfalme wa Wafalme, hukupa unachoomba  ukiombacho Leo na kupatiwa chaweza kuwa na madhara kwako kesho. Mwenyezi Mungu anajuwa kila jambo lako na anayo elimu yote kuhusu hali yako. Omba kwa  umakini, usije kuwa mfungwa wa maombi yako kesho,”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad