AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kagasheki, amerusha jiwe gizani akisema omba kwa umakini usije kuwa mfungwa wa maombi yako kesho.
Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter alisema unachokiomba leo na kupatiwa kinaweza kuwa na madhara kwako kesho.
Aliandika ujumbe unaosomeka hivi:” Mara nyingi mwenyezi Mungu, Mfalme wa Wafalme, hukupa unachoomba ukiombacho Leo na kupatiwa chaweza kuwa na madhara kwako kesho. Mwenyezi Mungu anajuwa kila jambo lako na anayo elimu yote kuhusu hali yako. Omba kwa umakini, usije kuwa mfungwa wa maombi yako kesho,”
Mara nyingi Mwenyezi Mungu, Mfalme wa wafalme, hukupa unachomuomba. Ukiombacho leo na kupata chaweza kuwa na madhara kwako kesho. Mwenyezi Mungu anajuwa kila jambo lako na anayo elimu yote kuhusu hali yako. Omba kwa umakini, usije kuwa mfungwa wa maombi yako kesho. #KSK_Balozi— Khamis Kagasheki (@KKagasheki) July 17, 2019
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK