AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMItINdo wa kiume Bongo, Martin Kadinda amefungukia madai ya kuhamia na kumsimamia mwanamitindo Hamisa Mobeto kuwa alikuwa akifanya mambo ya kishikaji na siyo kwamba yuko kwake sasa hivi. Akizungumza na Za Motomoto, Kadinda alisema kuwa yeye na Hamisa mara nyingi wanapata mialiko
mbalimbali kwenye mashindano ya urembo na mrembo huyo aliomba tu amsaidie kutoka naye nje mpaka kwenye gari lake wakati lilipomalizika shindano la Miss Kinondoni hivi karibuni. “Watu wana maneno Hamisa, yeye aliniomba tu nimsindikize nje mpaka kwenye gari lake na siyo kwamba sasa hivi nafanya kazi kwake na kamkacha Wema kitu ambacho sicho,” alisema Kadinda
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK