AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo huyo hodari kwa maneno ya shombo alisema, ameamua kufuta picha za mpenzi wake huyo kwenye akaunti yake kwa sababu zake binafsi, hivyo anashangazwa
na maneno ya watu wanaposema kuwa wameachana ndio sababu kaamua kuzifuta. “Hivi kwa nini watu huwa wanashindwa kuniacha na maisha yangu jamani, kila siku wanazua mambo mapya kwangu, sasa kwani nikifuta picha za huyo mwanaume wangu kwenye akaunti yangu kuna shida gani, kwa sababu hata nilipoanza kuziposti hawakunishauri, niliamua mwenyewe.
“Naomba kama kweli ni mashabiki wangu basi waendelee kunisapoti kwenye muziki wangu na sio kufuatilia mambo yangu binafsi, sipendi jamani na kuhusu kurudiana na Mo J sio kweli kwa sababu kila mtu sasa hivi ana maisha yake,” alisema Gigy.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK