AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema amesema kauli aliyoitoa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda dhidi ya Wakili Fatuma Karume ni ya hatari kwa wakosoaji wasio na wazazi wa kuwalinda.
Lema aliyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa kauli hiyo ni ya hatari.
Mbunge Lema “Kauli ya RC Paul Makonda katika mtandao wa Twitter kwenda kwa Adv Fatuma Karume inayosema Baba yako anakulinda hongera ni kauli ya hatari haswa kwa wakosoaji wasiokuwa na wazazi wa kuwalinda. Namtafakari Ben Saanane/Wengine kwa kuwa baba zao walikosa uwezo wa kuwalinda,”
Kauli ya RC Paul Makonda ktk mtandao wa Tweeter kwenda kwa Adv Fatma Karume inayosema"Baba yako anakulinda,hongera" Ni kauli ya hatari haswa kwa wakosoaji wasiokuwa na Wazazi wenye uwezo wa kuwalinda.Namtafakari Ben Saanane/ wengine kwa kuwa Baba zao walikosa uwezo wa kuwalinda.— Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) July 5, 2019
Nimemuelewa @Paul_Makonda. Anasema isingekuwa Baba yangu wangeniFIX. 🤣🤣 You have made too many enemies to fix anyone in this country. Kwa kiingereza unaitwa Lame Duck. https://t.co/0lalXUIz2o— fatma karume aka Shangazi (@fatma_karume) July 5, 2019
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK