AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua, Edward Mpogolo kuwa mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Edward ambaye alikuwa Katibu Tawala Wilaya ya Dodoma, anachukua nafasi ya Miraji Mtaturu ambaye amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK