Kimenuka..Lugola Amuondoa Madarakani Mkuu wa Kikosi Cha Usalama Barabarani Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola.

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola amemuondoa madarakani mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha (RTO), Charles Bukombe kwa madai ya kupuuza maagizo yake na kuyaita ya kisiasa.

Read More: Nafasi za Ajira 59 Zilizotangazwa Leo

Taarifa iliyotolewa leo Jumapili Julai 28, 2019 na ofisi ya mawasiliano ya wizara hiyo imeeleza kuwa licha ya kumuondoa katika nafasi hiyo, Lugola amemuagiza katibu mkuu wa wizara yake, kumchukulia hatua za kinidhamu RTO huyo ili iwe fundisho kwa trafiki.



Lugola amesema amemshuhudia Bukombe katika video inayosambaa mitandaoni alipokuwa katika mkutano jijini Arusha, akipinga maagizo yake na kuyaita ya kisiasa na hakuyatekeleza.



Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mji wa Malinyi mkoani Morogoro leo Lugola amesema hatoi maagizo ya kisiasa, hutuo yanayomsaidia Rais John Magufuli katika kazi zake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad